Ngedere (original) (raw)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

(Elekezwa kutoka Tumbili)

Ngedere
Ngedere mashariki (Chlorocebus pygerythrus)Ngedere mashariki (Chlorocebus pygerythrus)
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini) Himaya: Animalia (Wanyama) Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni) Ngeli: Mamalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao) Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu) Nusuoda: Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima) Oda ya chini: Simiiformes (Wanyama kama kima) Familia ya juu: Cercopithecoidea Familia: Cercopithecidae (Wanyama walio na mnasaba na kima) Nusufamilia: Cercopithecinae (Wanyama wanaofanana na kima) Kabila: Cercopithecini (Kima) Jenasi: Chlorocebus (Ngedere)Gray, 1870
Ngazi za chini
Spishi 6: C. aethiops (Linnaeus, 1758) C. cynosyros (Scopoli, 1786) C. djamdjamensis Neumann, 1902 C. pygerythrus F. Cuvier, 1821 C. sabaeus (Linnaeus, 1766) C. tantalus Ogilby, 1841

Ngedere au tumbili ni aina za kima wa jenasi Chlorocebus katika familia Cercopithecidae. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara, lakini spishi kadhaa zimewasilishwa katika sehemu nyingine za dunia.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.

Jamii: