Vali (original) (raw)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Vali ya tairi: upepo unasukumwa ndani kwa shinikizo kubwa (P2) lakini hauwezi kutoka maana shinikizo la ndani (P1) linaifunga.

Vali au valvu (kutoka Kiingereza valve) ni kifaa kinachoruhusu kufungua, kufunga, kupunguza au kuongeza mwendo wa kimiminiko au gesi katika bomba au kifaa.

Kuna aina nyingi za valvu, zikiwa pamoja na

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.