Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru (original) (raw)

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

nomino

Nomino (kutoka Kilatini: nōmen, jina) ni aina ya maneno inayotaja jina la mtu, mnyama, kitu, mahali, sifa au wazo. Nomino hutokea kwa umbo la umoja au uwingi: kitu, vitu; mtu, watu.

Tafsiri

[hariri]

ina makala kuhusu:

Nomino

Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana.